Enock Maregesi Quotes

Enjoy the best quotes of Enock Maregesi. Explore, save & share top quotes by Enock Maregesi.

Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote
Similar Quotes by Enock Maregesi

Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Cha-Cha favored short, earnest prayer, and he often wondered what took others so long., It had something to do with excess supplication, he suspected. He never presented a long list of specific requests to God, had always felt uncomfortable with the presumptuousness of "Ask and you shall receive." This might have been a result of pride, or his own middling ambition, but mostly Cha-Cha's prayers were a series of thank-yous and I'm sorrys.

Angela Flournoy, The Turner House
Save QuoteView Quote

The biggest fight in my relationship with Danny regards his absurd claim that he invited the popular middle school phenomenon of saying "cha-cha-cha" after each phrase of the Happy Birthday song- an idea his ingenious sixth-grade brain allegedly spawned in a New Jersey Chuck E. Cheese and watched spread across 1993 America with an unprecedented rapidity.

Marina Keegan, The Opposite of Loneliness: Essays and Stories
Save QuoteView Quote

Listen, if you want peace you must learn to drink cha from an empty cup.

James Clavell, Shōgun
Save QuoteView Quote

323 - Last Gate To Your Heart (Déjà Vu)I’m real happy to spend the last days of 2016 creating this amazing Soundtrack ….. real romantic and emotional ,,,, I hope 2017 will be a better year for all of US , I wish you all love , Joy and Happiness …..Creating Music is the best thing I’m doing in my life and now it’s so great to share this gift with you all …..hope you know how to do the Cha Cha,,,,,,Enjoy……………..Sami

Sami Abouzid
Save QuoteView Quote

My music genres, New Age Music, Electronic synth – pop, Disco, Electro house, Electronica- ambient, Electro pop. Hi-NRG, Electronic; ambient; folk; world; classical; easy listening, Latin salsa , Latin cha cha, latin bolero , latin – pop , Rock , Metal , ambient – rock , Arab dance , Nubian music ,jazz . World music , Trance , House music , Techno , Industrial music, Electronic dance music, Ambient house; chill-out …. Mood Music and Sami Abouzid

Sami Abouzid
Save QuoteView Quote

Ascente cha ores ri ve breazza.""Turn your ear to the wind," she interpreted. "Stand strong.

Mary E. Pearson, The Kiss of Deception
Save QuoteView Quote

- 'I've never had a thing for homicidal charmers before.'- 'But now you do?'- 'Apparently.' -I muttered, knowing he could feel my raicing heartbeat under his chest.- 'Well, if it helps, I've never had a thing for beautiful, deceptively brave, innocent cha

Emma Winters, Equal Parts
Save QuoteView Quote

Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupata pesa, kuwa na imani kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua au mtu mwenye nia mbaya na wewe ni kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa sababu, karibu kila mtu unayekutana naye ni Shetani. Shetani ni mtu yoyote mwenye nia mbaya na wewe. Hivyo, kama uliwahi kuambiwa kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ni kitu kibaya futa imani hiyo. Utaachaje kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua wakati kila siku unamwomba Mungu akusaidie, na Mungu hutenda kazi zake pale tunapojisahau? La sivyo hutapata pesa unayotamani kupata katika maisha yako, na kamwe hutawaamini watu. Zaka huondoa laana ya mapato. Toa zaka kununua pepo uliyopewa na Mungu.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote