Au dessus Quotes

Enjoy the best quotes on Au dessus , Explore, save & share top quotes on Au dessus .

I was glad to be made awarethat “Veimke” (jeune fille au pair),is subject to natural law,and can be made fat,by such things as poor diet,and alcohol.

Roman Payne
Save QuoteView Quote

I was glad to be made awarethat “Veimke” (jeune fille au pair),is subject to natural law,and can be made fat,by such things as poor diet,and alcohol.

Roman Payne
Save QuoteView Quote

Kuna nguzo saba ambazo hazina budi kuzingatiwa kama unataka kuheshimiwa na kuwaheshimu wengine. Kwanza kabisa jitambue: wewe ni nani na unafanya nini hapa duniani. Halafu, kabla ya kusema jambo lolote kwa mtu yoyote fikiria kwanza maana au madhara ya hilo unalotaka kulisema. Kisha jifunze tamaduni mbalimbali na watendee wengine kama vile unavyotaka kutendewa au kama vile wanavyotaka kutendewa. Jifunze kusamehe na kusuluhisha migogoro katika jamii unamoishi huku ukidumisha heshima na utu kwa binadamu wenzako. Jijengee imani kwa watu, punguza upendeleo, fanya kazi kama timu kwani hakuna ‘mimi’ katika umoja ila kuna ‘sisi’, na jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE kwa manufaa ya wote. Kuwa kiongozi katika kila jambo unalofanya na katika kila kitu unachofanya. Jitahidi kufanya jambo au kitu kwa usahihi kwa kadiri utakavyoweza.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Eternal snows are at the top. Eyes of beautiful are at the top. (Neiges éternelles sont au sommet. - Yeux de la belle sont au sommet.)

Charles de Leusse
Save QuoteView Quote

Above the sky, everything is beautiful, but alone. (Au-dessus du ciel, - Tout est beau, mais seul)

Charles de Leusse
Save QuoteView Quote

Mungu ana uwezo wa kukuwekea ulinzi kulia na kushoto yaani anayekulinda naye ana mlinzi wake. Lakini wakati mwingine anaacha ufuate kile ambacho moyo wako unataka kwa sababu hataki kukulazimisha ijapokuwa uwezo huo anao. Mungu hakukuumba kuwa roboti. Alikuumba kuwa huru kuchagua mema au mabaya usije ukamlaumu baadaye kwamba ulimchagua yeye kwa sababu hukuwa na uhuru. Msikilize Roho wa Mungu, kabla na katika kila jambo unalofanya.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

...by the end of my first week as an intern, I am just about ready to throw my pager out the window. A high window. Overlooking a trash compactor. Filled with highly corrosive acid.

Michelle Au
Save QuoteView Quote

God may forgive you if He chooses, but not I. Au revoir.

Lee Smith, On Agate Hill
Save QuoteView Quote

Au milieu de l'hiver, j'ai découvert en moi un invincible été.

Albert Camus
Save QuoteView Quote

Q: I want to be an author when I grow up. Am I insane?"Neil Gaiman: "Yes. Growing up is highly overrated. Just be an au

Neil Gaiman
Save QuoteView Quote